1 Kings 7:15-16

15 aHiramu akasubu nguzo mbili za shaba, kila moja ikiwa na urefu wa dhiraa kumi na nane,
Dhiraa 18 ni sawa na mita 8.1.
kila nguzo ikiwa na mzingo wa dhiraa kumi na mbili
Dhiraa 12 ni sawa na mita 5.4.
kwa mstari.
16 dPia alitengeneza mataji mawili ya shaba ya kusubu ili kuyaweka juu ya hizo nguzo; kila taji lilikuwa na kimo cha dhiraa tano
Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
kwenda juu.
Copyright information for SwhKC